WAZIRI MKUU WA ETHIPIA AJIUZULU - NIJUZE NEWS

Breaking news

Nyumba ya Habari Makini na za Uhakika

Pata Habari Mpya kwa kina Kila muda kutoka kwanye vyanzo vya Uhakika

Mikoani leo

Mikoani leo

Friday, February 16, 2018

WAZIRI MKUU WA ETHIPIA AJIUZULU


Image result for picha za waziri mkuu wa Ethiopia
Hailemariam Desalegn, Wszri Mkuu wa Ethiopia aliejiuzulu

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn, amejiuzulu bila kutarajia kwa jitihada za kukomesha miaka ya machafuko na kisiasa, Shiria la  Aljazeera amesema.


Katika taarifa ya ya televisheni, alisema kujiuzulu kwake "ni muhimu kwa jitihada za kufanya marekebisho ambayo yataongoza kwa amani na demokrasia endelevu".

Mr Hailemariam, ambaye alieonfgoza nchi tangu mwaka 2012, pia aliacha ngazi kama mwenyekiti wa umoja wa chama hicho. Mamia ya watu wamekufa katika miaka mitatu ya maandamano ya kupinga serikali.

Maandamano  ya kwanza yalianza  nchini kote mwaka 2015 pamoja na wito wa mageuzi ya kisiasa na kiuchumi na kukomesha  rushwa.

No comments:

Post a Comment

Mikoani leo

Mikoani leo