GAZETI LA NIPASHE LAINGIA MATATANI TENA - NIJUZE NEWS

Breaking news

Nyumba ya Habari Makini na za Uhakika

Pata Habari Mpya kwa kina Kila muda kutoka kwanye vyanzo vya Uhakika

Mikoani leo

Mikoani leo

Wednesday, January 17, 2018

GAZETI LA NIPASHE LAINGIA MATATANI TENA


26904144_1741757815888205_3732406305774040252_n
Kamanda wa Polisi Kanad Maalum ya Dar es Salaam, ACP Lazaro Mambosasa
Jeshi la Polisi: Habari iliyoandikwa na Gazeti la Nipashe kwamba “Polisi wanawakamata wavaa vimini na wanyoa viduku” imepikwa, si ya kweli!
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es  Salaam ACP Lazaro Mambosasa amesema kuwa habari zllizochapishwa na gazeti hilo hazina ukwel wowote 
ACP Mambosasa amesema kuwa  mwandishi (na gazeti lake) wanatafuta umaarufu kwa kutengeneza habari za kupika.
Aidha Mambosasa ameongeza kuwa mwandishi amesema kuwa hakuna msako wowote wa aina hiyo bali wanachofanya ni kukama ta watu wanaovunja na kukiuka maadili ya Kitanzania.
 "Mtu anaweza kufanya jambo la kuudhi ila hakuvuja sheria" amesema Mambosasa.
Kamanda huyo amemtaka mwandishi huyo awaombe radhi  Watanzania

Hivi karibuni gazeti hilo "Nipashe Jumapili "liliomba radhi na na kujfungia lenyewe kwa kuchapisha habari za Uongo dhidi ya Rais Dk. John Magufuli

No comments:

Post a Comment

Mikoani leo