Rais wa Tanzanaia Dkt John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bitiama Bw. Solomon Ngiliule kutokana na Ubadhirifu wa Fedha.
Waziri mwenye dhamana ya TAMISEM Bw. Selamani Jafo ametoa taarifa ya utenguzi huo.
Nyumba ya Habari Makini na za Uhakika
About Unknown
Nijuze news blog ni blog pendwa inchini Tanzania na unayosomwa na kufaitiliwa na mamilioni ya watu kwa kutoa habari motomoto nchini tanzania, za ndani ya nchi na nje ya nchi pia, karibu na endelea kufuatilia blog yako ya nijuze news kila wakati kwa kupata habari za michezoo na burudani, makala mbali mbali, habari za kitaifa na kimataifa zinazolipotiwa na wawakilishi wetu toka sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi
No comments:
Post a Comment